|
Basi la kampuni ya AM likiwa limepata hitilafu katikati ya hifadhi ya taifa
ya Ngorongoro.
|
|
Gari la mafuta likivuka moja ya daraja ndani ya hifadhi hiyo ya taifa ya
Ngorongoro.
|
|
Eneo la mto ambalo linatajwa kuwa ni manywesheo ya wanyama katika hifadhi
ya taifa ya Ngorongoro ambapo basi la kampuni ya AM lilipata hitilafu.
|
|
Kondakta wa basi la AM aliyefahamika kwa jina la Majogoro akichota maji
kwenye mto kwa ajili ya kuweka kwenye rejeta baada ya injini kuchemsha.
|
Chanzo Na:-issamichuzi Blog.
|





No comments:
Post a Comment