![]() |
|
Man United
walikuwa wa kwanza kupata bao lao dakika ya 58 lilifungwa na Nahodha Nemanja
Vidic kwa kichwa cha nyuma akimalizia kona ya Wayne Rooney.
|
![]() |
|
Katika
mchezo mwingine wa Robo ya michuano hiyo usiku huu(April 01,2014), FC Barcelona
ililazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na Atletico Madrid Uwanja wa Camp Nou.
|
Diego Coasta
alitangulia kuifungia Madrid dakika ya 56 Gabriel ‘Gabi’ Fernandez Arenas,
kabla ya Neymar da Silva Santos Junior kuisawazishia Barca dakika ya 71 pasi ya
Andres Iniesta.
FC Barcelona sasa inahitaji ushindi katika mchezo wa marudiano ugenini Aprili 9, mwaka huu.
Jumatano
Usiku (April 02,2014) kutakuwa na Mechi
mbili ambapo huko Santiago Bernabeu, Jijini Madrid, Real Madrid wataivaa
Borussia Dortmund na huko Parc des Princes, Jijini Paris, France, Paris
Saint-Germain itakumbana na Chelsea.
UEFA
CHAMPIONZ LIGI ROBO FAINALI
Jumanne Aprili 1,2014.
Barcelona 1 v
1 Atletico Madrid
Manchester
United 1 v 1 Bayern Munich
Jumatano
Aprili 2,2014.
Real Madrid
v Borussia Dortmund
Paris
Saint-Germain v Chelsea
Marudiano,Jumanne
Aprili 8,2014.
[Saa 3
Dak 45 Usiku]
Chelsea v
Paris Saint-Germain
Borussia
Dortmund v Real Madrid
Jumatano
Aprili 9,2014.
Bayern Munich
v Manchester United
Atletico
Madrid v Barcelona
-Droo ya Nusu Fainali:- 11 Aprili,2014.
-Mechi
kuchezwa 22 & 23 Aprili na Marudiano 29 & 30 Aprili,2014.
-FAINALI:
Estádio da Luz, Lisbon, Portugal 24 Mei 2014.









No comments:
Post a Comment