Timu ya Kombaini Ngara katika picha ya Pamoja katika viwanja vya Kokoto
mjini Ngara.
|
Timu ya Ingo Nawe ya Giteranyi nchini Burundi
katika picha ya pamoja katika viwanja vya Kokoto
mjini Ngara.
|
Kutoka kushoto ni Afisa Michezo wilaya ya Ngara Said Salumu na Mgeni rasimi Katibu Tawala Vedastus Tibaijuka wakiteta jambo wakati mchezo ukiendelea ,katika viwanja vya Kokoto
mjini Ngara.
|
Hapa mchezo umemalizika na wageni Ingo Nawe ya Giteranyi-Burundi
ikifungwa Seti 3-2 na Ngara.
|
Kikosi cha Ingo Nawe kutoka wilaya ya Giteranyi nchini Burundi
kabla ya kuwavaa Walimu FC,katika viwanja vya Kokoto
mjini Ngara.
|
Mwamuzi wa mchezo huo wa April 12, 2014,katika viwanja vya Kokoto
mjini Ngara.
|
Kaimu katibu mkuu wa chama cha soka wilaya ya Ngara NDFA Bahati Kunzi mwenye shati la damu ya mzee alikuwepo kufatilia mchezo huo wa soka. |
Muonekano wa uwanja wa Kokoto ambao ni uwanja wa soka wa wilaya ya Ngara,mkoani Kagera -ukiwa umejaa kokoto za mawe hali inayowafanya wachezaji kutocheza kwa raha kwa kuhofia kuumia. |
Mashabiki na wapenzi wa soka kutoka wilaya ya Giteranyi na Ngara maeneo mbalimbali ya Ngara wakifatilia mchezo huo kati ya Walimu FC walitoka sare ya 2-2 na Ingo Nawe. |
....................Benchi la Ufundi la timu ya Walimu FC............... |
....................Benchi la Ufundi la timu ya Ingo Nawe FC............... |
No comments:
Post a Comment