MVUA:-Picha Zaidi za Mafuriko maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Sunday, April 13, 2014

MVUA:-Picha Zaidi za Mafuriko maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam.


Chini na juu ni lori la mafuta likiwa limetumbukia eneo la Mbagala Jijini dar es Salaam kufuatia Mvua zinazoendelea kunyesha na kusababisha mafuriko ya Maji jijini humo.



 akijitutumua kupita lakini aaaah wapi, safari iliishia hapa…Picha Na:-Sufiani Mafoto.


Huyu sasa hata sijui alikuwa akielekea wapi huku..



 Nje ya maduka ya Kariakoo jana(Aprili 12,2014) mchana...wakati mvua zikiendelea kunyesha.




No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad