Maeneo
yaliyoharibika ni karibu na Daraja la Mto Ruvu lililofurika maji na kusababisha
magari kwenda mikoa ya Kaskazini, Magharibi na Nyanda za Juu Kusini na nchi
jirani kukwama.
|
Baadhi ya
magari yaliyokwama kuvuka eneo hilo yakiwa katika msongamano huku kukiwa na
usimamizi wa askari polisi.
|
No comments:
Post a Comment