PICHA:-Hii nayo ni ajali iliyotokea eneo la makongo ambapo gari ndogo imeangukiwa na gari la mchanga April 14,2014. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Monday, April 14, 2014

PICHA:-Hii nayo ni ajali iliyotokea eneo la makongo ambapo gari ndogo imeangukiwa na gari la mchanga April 14,2014.

Hii ni ajali iliyotokea eneo la makongo ambapo gari ndogo imeangukiwa na gari la mchanga asubuhi hii..(April 14,2014)..ambapo Juhudi za uokoaji za askari we jeshi la wananchi wakisaidiana na kikosi cha zimamoto na uokoaji walifanikiwa kumtoa dereva wa gari dogo mida ya saa 1:20 za asubuhi baada ya kukaa humo tangu saa 11 Alfajiri.




Gari ambalo limeangukiwa na kufukiwa na mchanga uliokuwemo kwenye gari lililopata ajali. Dereva wa gari dogo alifanikiwa kuokolewa.

Gari aina ya Landrover maalumu kwa ajili ya kutoa misaada ya magari yaliyopata hitilafu barabarani likijaribu kutoa msaada.

Gari lililolaliwa likionekana sehemu iliyobaki baada ya kuangukiwa na Lori la Mchanga leo April 14,2014.

      Picha juu na chini ni baadhi ya mashuhuda na askari wakishuhudia tukio hilo lililotokea leo Asubuhi(April 14,2014) maeneo ya Makongo Dar es Salaam.


Gari la kikosi cha zima moto na uokoaji likiondoka na dereva wa gari dogo baada ya kufanikiwa  kumuokoa.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad