Shule ya
Msingi Ntanga imekuwa ya mwisho kati ya shule 113 za wilaya ya Ngara kwa kupata
wastani wa 16% huku pia ikiwa ya mwisho kati ya shule 903 za msingi kwa mkoa wa
Kagera.
|
Baadhi la
walimu walio tunukiwa vyeti kwa ajili ya ufundishaji wao uliofanya wilaya pamoja
na wanafunzi kufaulu masomo yao.
|
Mkuu wa shule ya Sekondari Ngara,Mwl.Baraka akipokea cheti na zawadi katika sherehe za wiki ya
elimu wilayani Ngara mkoani kagera.
|
Baadhi la
walimu walio tunukiwa vyeti kwa ajili ya ufundishaji wao uliofanya wilaya pamoja
na wanafunzi kufaulu masomo yao.
|
Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya na Diwani wa kata ya Kibimba,Bw.John Shimilimana katika pozi wakati wa sherehe za wiki ya elimu wilayani Ngara mkoani kagera. |
Afisa Elimu shule za Msingi wilaya Bw.Saimon Mumbee katika pozi wakati wa sherehe za wiki ya elimu wilayani Ngara mkoani kagera
|
Baadhi la walimu walio tunukiwa vyeti kwa ajili ya ufundishaji wao uliofanya wilaya pamoja na wanafunzi kufaulu masomo yao. |
No comments:
Post a Comment