AJALI:-Picha za Ajali imetokea katikati ya Bwanga na Runzewe na kujeruhi Abiria . - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Tuesday, April 08, 2014

AJALI:-Picha za Ajali imetokea katikati ya Bwanga na Runzewe na kujeruhi Abiria .


Ajali hiyo iliyotokea hivi karibuni katika barabara ya kutoka Bwanga kuja Runzewe ilisabaishwa na kukatika kwa staring road ,hatimaye kupinduka hali iliyosababisha baadhi ya Abiria waliokuwa wakisafiri na Haice hiyo kujeruhiwa,hakuna kifo kilichoripotiwa kutokea.


Baadhi ya wananchi wakishuhudia Haice iliyopata ajali  katika barabara ya kutoka Bwanga kuja Runzewe na kusababisha majeraha kwa abiria.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad