![]() |
|
Imeelezwa
kuwa chanzo cha ajali hiyo ni gari dogo kuchomoka tairi kasha basi hilo la
RATCO kulikanyaga tairi hilo na kulisababishia kupoteza mwelekeo wa njia kasha kutumbukia
mtaroni.
|
![]() |
|
Baadhi ya Abiria walionekana kupitia madirishani ili kujinusuri baada ya basi hilo la
RATCO kupata ajali kwa kupoteza mwelekeo wa njia kashi kutumbukia
mtaroni katika eneo la Kongowe-Kibaha,Pwani.
|








No comments:
Post a Comment