![]() |
Gari hili aina ya Toyota Rav 4 likiteketea kwa
moto maeneo Selander Bridge jijini Dar es Salaam jana.(April
09,2014) huku mmiliki wake baada ya ajali hiyo hakuweza kuongea lolote zaidi ya
kulia.
|
![]() |
|
![]() |
Katika ajali hiyo hakuna mtu aliyefariki wala kujeruhiwa na gari hilo
liliteketea kwa moto Aprili 9, 2014 katika barabara ya Ali Hassan Mwinyi jijini
Dar es Salaam.
|
No comments:
Post a Comment