UEFA:-Manchester United na Borrusia Dortmund zimefanikiwa kufuzu hatua ya robo ya fainali ya michuano ya ligi ya mabingwa barani ulaya. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Thursday, March 20, 2014

UEFA:-Manchester United na Borrusia Dortmund zimefanikiwa kufuzu hatua ya robo ya fainali ya michuano ya ligi ya mabingwa barani ulaya.

Sehemu ya mashabiki wa Dortmund hapo jana March 19,2014,ambapo pamoja na Dortmund kufungwa nyumbani kwenye uwanja wa Signal Iduna Park mabao 2-1 na Zenit St Petersburg ya nchini Urusi,ilifanikiwa kuingia hatua ya robo fainali ya michuano hiyo ya ligi ya mabingwa barani ulaya (UEFA)
kwa jumla ya mabao 5-3.

  Mshambuliaji Hulk akishangilia bao lake hapo jana usiku........Mabao ya Zenit  yalifungwa na mshambuliaji raia wa Brazil Hulk kwa shuti kali na lingine lilifungwa na Salomon Rondon wakati lile la Dortmund lilifungwa na kiungo mkongwe Sebastian Kehl.
Wachezaji wa Dortmund wakijumuika na mwenzao Sebastien Kehl kushangilia bao lake....pamoja na Dortmund kufungwa nyumbani kwenye uwanja wa Signal Iduna Park mabao 2-1 na Zenit St Petersburg ya nchini Urusi,ilifanikiwa kuingia hatua ya robo fainali ya michuano hiyo ya ligi ya mabingwa barani ulaya kwa jumla ya mabao 5-3.
Kocha wa Dortmund Jurgen Kloop akishangilia na wachezaji wake kufuzu hatua ya robo fainali ya michuano ya UEFA Champions League hapo jana March 19,2014 usiku.
United players celebrate Van Persie's second goal, but there was more to come ambapo Mabao matatu ya mshambuliaji Robin Van Persie yaliisaidia Manchester Utd kuifunga Olympiakos ya Ugiriki MABAO 3-0 na kufanikiwa kufuzu hatua ya robo fainali kwa jumla ya mabao 3-2.
Man United's Antonio Valencia with swollen eye after clash with Joel Campbell



TIMU ZILIZOTINGA ROBO FAINALI UEFA 2013/2014.

-Bayern Munich
-Atletico Madrid
-Barcelona
-Paris Saint-Germain
-Chelsea
-Real Madrid
-Manchester United
-Borussia Dortmund


No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad