![]() |
|
Chelsea imefanikiwa kuifunga Galataray ya Uturuki kwa mabao 2-0 katika
mechi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya Jana March 18,2014,kwenye Uwanja wa Stamford Bridge London.
|
![]() |
|
Mabao ya Chelsea yalifungwa na Samuel Eto’o na beki Garry Cahill na
kuipa Chelsea ushindi wa jumla ya mabao 3-1 baada ya kutoka sare ya bao 1-1
jijini Istambul katika mechi ya kwanza.
|
Bao pekee la
Schalke kwenye Mechi hii lilifungwa na Tim Hoogland katika Dakika ya 31.
TIMU ZILIZOTINGA
ROBO FAINALI UEFA 2013/2014.
-Bayern
Munich
-Atletico
Madrid
-Barcelona
-Paris
Saint-Germain
-Chelsea
-Real Madrid
**Bado 2.
Jumatano
Machi 19,2014.
22:45 BV
Borussia Dortmund v Zenit St. Petersburg [4-2]
22:45
Manchester United v Olympiacos CFP [0-2]
MATOKEO YA UEFA.
Jumanne
Machi 11,2014.
Bayern
Munich 1 Arsenal 1 [3-1]
Atletico de
Madrid 4 AC Milan 1 [5-2]
Jumatano
Machi 12,2014.
FC Barcelona
2 Manchester City 1 [4-1]
Paris
Saint-Germain 2 Bayer 04 Leverkusen 1 [6-1]
Jumanne
Machi 18,2014.
Chelsea FC 2
Galatasaray Spor Kulübü 0 [3-1]
Real Madrid
CF 3 Schalke 1 [9-2]










No comments:
Post a Comment