![]() |
|
Mashabiki wa
soka toka maeneo mbalimbali ya mkoa wa Muyinga nchini Burundi wakifatilia
mchezo huo wa kirafiki wa kimataifa
katika kukuza masula ya ujirani mwema ,ulichezwa katika uwanja wa Jeshi wa
Mukoni mjini Muyinga na Amisi Selkemaini kuiandikia bao la kwanza-timu yake ya
Polisi dk 13 huku Ngara Starz wakichomoa kunako dk ya 33 kipindi cha pili.
|
![]() |
| Benchi la ufundi la timu ya Polisi Muyinga na wa kwanza kulia ni Kocha wao Ngabo Jomed akifatilia mchezo huo jana March 23,2014, katika uwanja wa Jeshi wa Mukoni mjini Muyinga. |
![]() |
| Benchi la ufundi la timu ya Ngara Stars na wa tatu kutoka kulia ni Kocha wao Baraka Abbas akifatilia mchezo huo jana March 23,2014, katika uwanja wa Jeshi wa Mukoni mjini Muyinga. |
![]() |
|
Hawana nao ni wadau wakubwa wa soka walinaswa na camera yetu wakifatilia kwa ukaribu mchezo huo ambao Ngara Stars walitoka sare ya 1-1 na Polisi Muyinga.
|
![]() |
|
Ugeni kutoka wilayani Ngara mkoani Kagera nchini Tanzania ulipokelewa vizuri na kupatia huduma nzuri ya chakula.
|




























No comments:
Post a Comment