|
Kutokana na mgomo huo ndipo madereva wa magari hayo na makondakta
wakaamua kugeuza stendi hiyo uwanja wa mpira wa miguu likapigwa soka kati ya
madereva na makondakta.
|
|
Kituo kikuu cha mabasi yaendayo sehemu mbalimbali ndani ya mkoa wa
Kilimanjaro na Arusha ikiwa haina gari baada ya wamiliki wa magari yaendyo
maeneo hayo kugoma kutoa huduma leo March 24,2014..
|
|
Ndipo askari walipoamua kuingilia kati na kuzuia mchezo huo uliokuwa
hauna waamuzi wala milingoti ya kufunga magoli.
|





No comments:
Post a Comment