Tazama ….Bonge la burudani la kunyanyua vitu vizito’’…. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Wednesday, March 12, 2014

Tazama ….Bonge la burudani la kunyanyua vitu vizito’’….

Hakika medani ya mchezo wa ngumi ama masumbwi au ukipenda ndonga, hapa nchini Tanzania bila kujifua kimazoezi na kunyanyua vitu vizito’’ Gym’’ sio jambo geni miongoni mwa wadau wa mchezo huo ambao una historia ya kulitangaza vema jina la Tanzania kimataifa….Ila ya huyu jamaa ni balaaa maana nasikia limebeba pia mapipa mawili ya maji yakiwa yamejaa huku na huku yaaani ni….Bonge la burudani.



Kwa Mujibu wa Ibrahim Khalidi anasema kuwa huyu Jamaa ni Msukuma, katokea Bariadi mkoani Shinyanga na alikuwepo Mwanzo mwisho kushuhudia  Maonyesho hayo ya Kuinua Vitu vizito yaliyofanyika Mizani ,Nyakahura wilayani Biharamulo mkoani Kagera Hivi Karibuni. Kiukweli anawakilisha anga za Kimataifa. Bigup Sukuma.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad