Angalia Mabasi ya Abiria kutoka mkoani Kigoma yakipita Standi ya Mabasi mjini Kakonko. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Thursday, March 13, 2014

Angalia Mabasi ya Abiria kutoka mkoani Kigoma yakipita Standi ya Mabasi mjini Kakonko.

Hali ya Mvua imenyesha usiku wa kuamkia leo March 13, 2014,wilayani Kibondo na hata baadhi ya Maeneo ya wilaya ya Kakonko mkoani Kigoma na Mvua hiyo haijaathiri sana hali ya Usafiri wa magari ikiwemo ya Abiria ,kama unavyoona hapo pichani ni basi la Kampuni ya LUSHANGA likiwa standi kuu Mjini Kakonko likitoka wilayani Kibondo kwenda Jijini Mwanza.

Muonekano wa Mabasi ya abiria yanayofanya safari zake Mwanza,Kahama,Dar es Salaam kwenda wilaya za Kibondo,Kasulu na Mkoani Kigoma kupitia wilaya ya Kakonko yakiwa standi kuu ya Mabasi Mjini Kakonko.
:-Picha na Mdau:-Kenish Berish-Wilayani Kakonko.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad