Muonekano wa magugu maji yaliyojazana katika Bwawa hilo hali inayofanya uharibifu wa chanzo hicho muhimu cha maji mjini Sengerema.
|
Watu wazima
na watoto wakipita juu ya tuta la Bwawa hilo,kingo hilo linaonekana kujaa
majani hali inayohatarisha hata usalama wa wapitaji.
|
Muonekano wa Nyumba ya Mzee James Sosela ikiwa jirani kabisa na eneo lilipojengwa Dampo la takataka kama picha inavyoonekana.FU.
|
Shughuli za uvuvi wa samaki nazo zikiendelea katika Bwawa hilo lililoshindwa kuendelezwa na Serikali ya wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza.
|
Vijana hawa wakiwa katika eneo lililo Kando na Bwawa hilo wakijishughulisha na biashara ya kuotesha miti.
|
Ng'ombe
wakiwa malishoni kando ya bwawa hilo lililopo mjini Sengerema…Picha Na:-
eaglentertainment.blogspot.com
|
No comments:
Post a Comment