Picha ya pamoja kutoka kushoto ni Said Salumu Afisa Michezo wilaya ya Ngara,Samson Mathayo Mwenyekiti wa KAREVA-Chama cha mchezo wa
wavu mkoa wa KAGERA,Afisa Elimu shule za Msingi wilaya ya Ngara ,Saimon Mumbee,Cornel Ng'udungi aliyekuwa mgeni rasmi katika ufungaji wa mafunzo hayo na pia ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Ngara, kutoka chama cha cha mchezo wa wavu taifa TAVA-Somo Ahmed Kimwaga,Julius Nestory Afisa Elimu sekondari wilaya ya Ngara na Makamu mwenyekiti wa KAREVA-Dauson Buninange.
|
No comments:
Post a Comment