![]() |
|
Kikundi cha TOT Plus kiongozwa na gwiji wa
mipasho hapa nchini,Khadija Kopa wakiimba jukwaani.
|
![]() |
|
Vijana wenye umri wa miaka 37 wakirusha njiwa
angani kuashiria amani,utulivu na mshikamano wetu tulionayo.
|
![]() |
|
Mwenyekiti wa CCM,Rais Jakaya Kikwete
akipiga gitaa kabla ya kumzawadia msanii wa muziki maarufu wa jijini
Mbeya,Petrol Abel a.k.a Awilo.
|


















No comments:
Post a Comment