![]() |
|
Mjane Mama Jane Mgimwa(katikati) akiwa na
Balozi wa Tanzania nchini Afrika kusini Radhia Msuya(kulia) mara baada ya
kuwasili kutoka nchini Afrika kusini
|
![]() |
|
Baadhi ya Viongozi wa Serikali na Wabunge
waliojitokeza kuupokea mwili wa aliyekuwa Waziri wa Fedha Dkt. Willium Mgimwa.
|
![]() |
|
Mwili wa aliyekuwa Waziri wa Fedha Marehemu
Dkt. Willium Mgimwa Ukiingizwa kwenye gari Maalum Tayari kwa ajili ya kuelekea
nyumbani kwa marehemu kwa taratibu nyingine za mazishi.
|
Ratiba
ya mazishi ya marehemu Waziri, Dk William Mgimwa (Mb).
TAREHE 4/ 01/ 2013
- MWILI WA MAREHEMU UNATARAJIA KUWASILI UWANJA WA NDEGE WA JULIUS NYERERE TERMINAL II, SAA7: 00 MCHANA. BAADA YA KUWASILI UTAPELEKWA NYUMBANI KWA MAREHEMU MIKOCHENI B.
- SAA 11:00 JIONI MWILI UTAPELEKWA HOSPITALI YA LUGALO.
- SAA 3:00 HADI SAA 4:00 ASUBUHI:- CHAKULA NYUMBANI KWA MAREHEMU.
- SAA 4:30 ASUBUHI :- MWILI KUWASILI NYUMBANI MIKOCHENI B.
- SAA 5:30 HADI SAA 8:00 MWILI UTAPELEKWA UKUMBI WA KARIMJEE KWA AJILI YA SHUGHULI ZA IBADA NA HESHIMA ZA MWISHO.
- SAA 8:10 MWILI UTAPELEKWA UWANJA WA NDEGE WA MWALIMU NYERERE TERMINAL I.
- SAA 10:00 MWILI UNATARAJIA KUWASILI IRINGA UWANJA WA NDULI NA KUAGWA KATIKA UKUMBI WA SIASA NI KILIMO-IRINGA
- SAA 11:30 JIONI MWILI UTASAFIRISHWA KUELEKEA KIJIJI CHA MAGUNGA.
TAREHE 6/ 01/ 2013












No comments:
Post a Comment