Timu ya Azam FC Leo (Januari 29,2014) imeitoa Yanga SC kwenye kilele cha Ligi kuu soka Vodacom Tanzania bara (VPL) ilipoifunga Rhino
Rangers ya Tabora Bao 1-0 huko Azam Complex na Yanga SC kutoka Sare ya 0-0 na Coastal Union
huko Mkwakwani Jijini Tanga.
Kocha mkuu
wa Yanga SC Hans van der Pluijm ameishusha kileleni Yanga SC baada ya mechi
mbili tu za Ligi Kuu Vodacom Tanzania bara na Huo unakuwa mchezo wa nne kwa Yanga
SC kucheza chini ya kocha wake mpya, ikishinda mechi mmoja tu.
Awali Mholanzi huyo aliyefukuzwa fukuzwa timu kibao Ghana na St George ya Ethiopia kwa matokeo mabaya kabla ya kutua Jangwani, alitoa sare mbili katika ziara ya Uturuki na akashinda dhidi ya Ashanti United kwa taabu 2-1 (Januari 25,2014) Jumamosi katika Ligi Kuu.
Katika mchezo wa leo uliotawaliwa na vurugu za mashabiki.
Huko
Mabatini, Mlandizi, Ruvu Shooting na Mbeya City zilitoka Sare ya Bao 1-1 kwenye
Mechi ambayo Ruvu walifunga mwanzo katika Dakika ya 4 kwa Bao la Jerome Lambele
na Mbeya kusawazisha Dakika 9 baadae kupitia Jeremiah John.
Matokeo
yameifanya Azam FC ishike usukani ikiwa na Pointi 33, Yanga SC Nafasi ya Pili,
Pointi moja nyuma na Mbeya City wako nyuma ya Yanga kwa Pointi 1 huku Timu zote
zimecheza Mechi 15.
RATIBA/MATOKEO
VPL 2013/2014.
Jumatano
Januari 29,2014.
Kagera Sugar
0 v Mtibwa Sugar 0
Azam FC 1
Rhino Rangers 0
Ruvu
Shooting 1 Mbeya City 1
Coastal
Union 0 Yanga 0
RATIBA
VPL 2013/2014.
Jumamosi
Februari 1,2014.
Ashanti
United v Mgambo JKT [Azam Complex, Dar es Salaam]
Simba v JKT
Oljoro [Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam]
Jumapili
Februari 2,2014.
Yanga SC v
Mbeya City [Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam]
MSIMAMO
WA LIGI KWA SASA.
|
NO
|
TEAMS
|
P
|
W
|
D
|
L
|
GF
|
GA
|
GD
|
PTS
|
|
1
|
Azam FC |
15
|
9
|
6
|
0
|
25
|
10
|
15
|
33
|
|
2
|
Young Africans |
15
|
9
|
5
|
1
|
33
|
12
|
21
|
32
|
|
3
|
Mbeya City |
15
|
8
|
7
|
0
|
22
|
12
|
10
|
31
|
|
4
|
Simba SC |
14
|
7
|
6
|
1
|
27
|
13
|
14
|
27
|
|
5
|
Kagera Sugar |
14
|
5
|
5
|
4
|
15
|
11
|
4
|
20
|
|
6
|
Mtibwa Sugar |
14
|
5
|
5
|
4
|
19
|
18
|
1
|
20
|
|
7
|
Coastal Union |
15
|
3
|
9
|
3
|
11
|
8
|
3
|
18
|
|
8
|
Ruvu Shootings |
14
|
4
|
6
|
4
|
16
|
16
|
0
|
18
|
|
9
|
JKT Ruvu |
14
|
6
|
0
|
8
|
13
|
18
|
-5
|
18
|
|
10
|
Rhino Rangers |
15
|
2
|
5
|
8
|
9
|
18
|
-9
|
11
|
|
11
|
JKT Oljoro |
14
|
2
|
5
|
7
|
10
|
11
|
-10
|
11
|
|
12
|
Ashanti United |
14
|
2
|
4
|
8
|
13
|
26
|
-13
|
10
|
|
13
|
Tanzania Prisons |
13
|
1
|
6
|
6
|
6
|
16
|
-10
|
9
|
|
14
|
Mgambo JKT |
14
|
1
|
3
|
10
|
5
|
26
|
-21
|
6
|





No comments:
Post a Comment