Suarez
alifunga mabao mawili dakika za 32 na 71 na kutimiza mabao 22 katika mechi 16
za ligi na Sturridge akafunga bao lake la 12 msimu huu dakika ya 87 akicheza
kwa mara ya kwanza tangu Novemba 23, mwaka jana kutokana na kuwa nje kwa
maumivu ya kifundo cha mguu.
Mabao
mengine ya Liverpool yalifungwa na Shawcross aliyejifunga dakika ya tano na
Steven Gerrard dakika ya 51, wakati ya Stoke yalitiwa nyavuni na Peter Crouch
dakika ya 39, Adam dakika ya 44 na Walters dakika ya 84.
Liverpool
sasa inatimiza pointi 42 baada ya kucheza mechi 21 na kutulia nafasi ya nne,
nyuma ya Asrenal yenye pointi 45, Chelsea 46 na Mancester City 47.
| Position | Team | Played | Goal Difference | Points |
|---|---|---|---|---|
| 1 | Man City | 21 | 36 | 47 |
| 2 | Chelsea | 21 | 21 | 46 |
| 3 | Arsenal | 20 | 21 | 45 |
| 4 | Liverpool | 21 | 25 | 42 |
| 5 | Everton | 21 | 15 | 41 |
| 6 | Tottenham | 21 | 1 | 40 |
| 7 | Man Utd | 21 | 11 | 37 |
| 8 | Newcastle | 21 | 2 | 33 |
| 9 | Southampton | 21 | 4 | 30 |
| 10 | Hull | 21 | -5 | 23 |
| 11 | Aston Villa | 20 | -6 | 23 |
| 12 | Stoke | 21 | -13 | 22 |
| 13 | Swansea | 21 | -4 | 21 |
| 14 | West Brom | 21 | -5 | 21 |
| 15 | Norwich | 21 | -18 | 20 |
| 16 | Fulham | 21 | -24 | 19 |
| 17 | West Ham | 21 | -9 | 18 |
| 18 | Cardiff | 21 | -19 | 18 |
| 19 | Sunderland | 21 | -15 | 17 |
| 20 | Crystal Palace | 21 | -18 | 17 |
![]() |
| Bao la ushindi kwa Real lilifungwa na Beki Pepe kwa kichwa katika Dakika ya 55 alipounganisha Frikiki ya Luka Modric. |
Kwenye Mechi
hii, Cristiano Ronaldo, alikosa Bao 2 za wazi.
Jana
Jumamosi(Januari 11,2014), Atletico Madrid na Barcelona zilitoka Sare ya 0-0 Uwanjani Vicente
Calderon na kufungana kileleni wakiwa wote wana Pointi 50 lakini Barcelona wako
mbele kwa ubora wa Magoli.
HUKO KATIKA LIGI YA ITALIA:-Mabingwa watetezi na Vinara wa Serie
A huko Italy, Juventus, Jana (Januari 12,2014) wametoka nyuma kwa Bao 1 wakiwa Ugenini na
kuitandika Cagliari Bao 4-1 na kuzidi kupaa kileleni wakiwa Pointi 8 mbele ya
Timu ya Pili As Roma ambao nao leo waliikung’uta Genoa Bao 4-0.
Timu ya Nafasi ya Tatu, Napoli,
wakicheza Ugenini, nao pia waliifumua Hellas Verona Bao 3-0 kwa Bao za Dries
Mertens, Lorenzo Insigne na Blerim Dzemaili.
Kwenye Mechi ya AS Roma Genoa, Bao
za AS Roma zilipachikwa na Alessandro Florenzi, Francesco Totti, Maicon Douglas
Sisenando, Mehdi Benatia.
Mabingwa Juventus wajikuta wakipigwa
Bao 1 na Cagliari katika Dakika ya 21 Mfungaji akiwa Mauricio Ferrera Pinilla
ambae alipewa Kadi Nyekundu katika Dakika ya 87.
Juve walizinduka na kusawazisha
Dakika moja baadae kwa Bao la Jose Martin Caceres na kuongeza Bao la Pili
katika Dakika ya 31 kupitia Fernando Llorente.
Kipindi cha Pili, Juve walipiga Bao
nyingine mbili za Claudio Marchisio, Dakika ya 73, na Bao jingine la Fernando
Llorente katika Dakika ya 76.
MSIMAMO-KWA TIMU ZA JUU.
|
NA |
TIMU |
P |
W |
D |
L |
F |
A |
GD |
PTS |
|
1 |
Juventus FC |
19 |
17 |
1 |
1 |
46 |
12 |
34 |
52 |
|
2 |
AS Roma |
19 |
13 |
5 |
1 |
39 |
10 |
29 |
44 |
|
3 |
SSC Napoli |
19 |
13 |
3 |
3 |
41 |
20 |
21 |
42 |
|
4 |
Fiorentina |
19 |
11 |
4 |
4 |
34 |
20 |
14 |
37 |
|
5 |
Hellas Verona |
19 |
10 |
2 |
7 |
34 |
30 |
4 |
32 |
|
6 |
Inter Milan |
18 |
8 |
7 |
3 |
37 |
22 |
15 |
31 |
RATIBA/MATOKEO 2013/2014.
Jumamosi Januari 11,2014.
Livorno 0 Parma 3
Bologna 0 Lazio 0
Jumapili Januari 12,2014.
Torino 0 Fiorentina 0
AS Roma 4 Genoa 0
Atalanta 2 Calcio Catania 1
Cagliari Calcio 1 Juventus 4
Hellas Verona 0 SSC Napoli 3
Sassuolo Calcio 4 v AC Milan 3
Jumatatu Januari 13,2014.
21:00 Sampdoria v Udinese
23:00 Inter Milan v Chievo Veron











No comments:
Post a Comment