MKASA KAMILI:Ayubu ambaye kwasasa amelazwa
wadi namba moja katika hospitali hiyo,imeelezwa kuwa baada ya kutokea mfarakano
baina yake na mwanamke mmoja ambaye jina halijafahamika aliamua kuingia ndani
na kuukata uume wake kwa kutumia wembe mkali na baadae sehemu ya uume huo
alikwenda kuutupa kwenye majani na kurudi chumbani kwake.
Taarifa kutoka Jeshi la Polisi zinaeleza kuwa
baba mzazi wa Ayubu baada ya kubaini mtoto wake kuwa amejifungia chumbani
kwa muda mrefu akaamua kumgongea mlango na alipopata fursa ya kuingia ndani
ndipo akagundua ukweli juu ya jambo hilo na hivyo kumpeleka Ayubu Kituo kikubwa
cha Polisi Tabora ambapo jalada la kesi ya kujidhuru lilifunguliwa.
Hata hivyo hali ya Ayubu kwasasa inaendelea
vizuri licha ya kuwa amejikata na kubakisha kipande cha sentimeta 5 huku
akisubiriwa kufikishwa mahakamani kwa kutenda kosa hilo la kujidhuru mwenyewe
pasipo sababu za msingi.
Source:- http://kapipij.blogspot.com


.jpg)



No comments:
Post a Comment