|
...Watoto wa marehemu Dorine na Neema. ...
|
| ...Mke wa marehemu akiwa na mtoto wake wa kiume. |
|
Jeneza lenye mwili
wa marehemu Dkt.Sengondo Mvungi, likiwasili kwenye Viwanja vya Karimjee.
|
|
...Watoto wa marehemu wakitoa heshima ya
mwisho wakati wa shughuli
ya kuagwa mwili huo iliyofanyika kwenye Viwanja vya Karimjee jijini Dar es
Salaam,leo.
|
|
...Mmoja wa mtoto wa marehemu wakati wa
shughuli ya kuagwa mwili huo iliyofanyika kwenye Viwanja vya Karimjee jijini
Dar es Salaam,leo .
|
|
...Baadhi ya wanasheria wakati wa shughuli za kuaga mwili wa
marehemu, Dkt.Sengondo Mvungi,kwenye Viwanja vya Karimjee jijini Dar es
Salaam,leo. .(Novemba 16,2013).
|





No comments:
Post a Comment