VPL 2013/2014:-Jumamosi Yanga SC kufuta machungu kwa Ruvu Shooting. huku...Vinara Simba SC wao Jumapili na JKT Ruvu…’’ - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Friday, September 27, 2013

VPL 2013/2014:-Jumamosi Yanga SC kufuta machungu kwa Ruvu Shooting. huku...Vinara Simba SC wao Jumapili na JKT Ruvu…’’

Mabingwa Watetezi wa , Ligi kuu soka Vodacom Tanzania bara , Yanga, wanarejea tena kwenye Ligi wakitoka kwenye kipigo cha 3-2 walichokipata Jumapili iliyopita toka kwa Azam FC na Jumamosi wapo Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam kuwakaribisha Ruvu Shooting.

Kichapo hicho cha Azam FC kimeifanya Yanga ishike Nafasi ya 9 kwenye Ligi ikiwa na Pointi 6 kwa Mechi 5 baada kushinda Mechi moja, Sare 3 na Kufungwa moja huku wapinzani wao wa Jumamosi, Ruvu Shooting, wakiwa Nafasi ya 4 na wana Pointi 9 kwa Mechi 5.

Vinara wa Ligi hii, Simba, wenye Pointi 11, wao watacheza Jumapili na Ruvu JKT ambao wako Nafasi ya Pili wakiwa na Pointi 9.

Timu za Azam FC na Coastal Union, ambazo pia zina Pointi 9 kama vile JKT Ruvu na Ruvu Shooting, zote zipo huko Mbeya ambapo Jumamosi Coastal Union wataivaa Mbeya City na Jumapili Tanzania Prisons wataikabili Azam FC.
RATIBA VPL 2013/2014.
Jumamosi Septemba 28,2013.

Yanga SC v Ruvu Shooting

Rhino Rangers v Kagera Sugar

Mbeya City v Coastal Union

Mgambo JKT v JKT Oljoro

Jumapili Septemba 29,2013.

Ashanti United v Mtibwa Sugar

JKT Ruvu v Simba SC


Tanzania Prisons v Azam FC

VPL-MSIMAMO:-2013/2014.

NA
TIMU
P
W
D
L
GD
GF
POINTI
1
Simba SC
5
3
2
0
9
13
11
2
JKT Ruvu
5
3
0
2
4
6
9
3
Azam FC
5
2
3
0
3
8
9
4
Ruvu Shooting
5
3
0
2
3
6
9
5
Coastal Union
5
2
3
0
3
5
9
6
Kagera Sugar
5
2
2
1
3
6
8
7
Mbeya City
5
1
4
0
1
6
7
8
Rhino Rangers
6
1
4
1
0
7
7
9
Yanga SC
5
1
3
1
3
10
6
10
Mtibwa Sugar
5
1
3
1
-1
4
6
11
JKT Oljoro
5
1
1
3
-2
3
4
12
Mgambo JKT
5
1
1
3
-8
2
4
13
Prisons FC
5
0
3
2
-6
2
3
14
Ashanti United
6
0
1
5
-11
2
1


VPL: LIGI KUU VODACOM 2013/2014 MATOKEO YOTE:
Jumatano Septemba 25,2013.

Rhino Rangers 2 Ashanti United 0

Jumapili Septemba 22,2013.

Azam FC 3 Yanga SC 2

Coastal Union 1 Ruvu Shooting 0

JKT Ruvu 0 JKT Oljoro 1

Kocha Mkuu wa klabu ya Simba SC,
 Abdallah Kibaden.
Jumamosi Septemba 21,2013.

Mgambo JKT 1 Rhino Rangers 1

Tanzania Prisons 1 Mtibwa Sugar 1

Kagera Sugar 3 Ashanti United 0

Simba SC 2 Mbeya City 2

Jumatano Septemba 18,2013.

Tanzania Prisons 1 Yanga SC 1

Simba SC 6 Mgambo JKT 0

Kagera Sugar 2 JKT Oljoro 1

Azam FC 1 Ashanti United 1

Coastal Union 1 Rhino Rangers 1

Mtibwa Sugar 0 Mbeya City 0

Ruvu Shootings 1 JKT Ruvu 0

Jumamosi Septemba 14,2013.

Simba SC 2 Mtibwa Sugar 0

Coastal Union 0 Prisons 0

Ruvu Shootings 1 Mgambo JKT 0

JKT Oljoro 1 Rhino Rangers 1

Mbeya City 1 Yanga SC 1

Kagera Sugar 1 Azam FC 1

Ashanti United 0 JKT Ruvu 1

Jumatano Agosti 28,2013.

Mtibwa Sugar 1 Kagera Sugar 0

Rhino Rangers 0 Azam FC 2

Mbeya City 2 Ruvu Shootings 1

Mgambo JKT 1 Ashanti United 0

JKT Oljoro 0 Simba SC 1

Yanga SC 1 Coastal Union 1

JKT Ruvu 3 Prisons 0


Mshambuliaji wa Yanga na timu ya Taifa (Taifa Stars),
 Mrisho Ngassa.
Jumamosi Agosti 24,2013.

Yanga SC 5 Ashanti United 1

Mtibwa Sugar 1 Azam FC 1

JKT Oljoro 0 Coastal Union 2

Mgambo JKT 0 JKT Ruvu 2

Mbeya City 0 Kagera Sugar 0

Ruvu Shooting 3 Prisons 0

Rhino Rangers 2 Simba SC 2

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad