![]() |
|
Bale
alifunga kipindi cha kwanza na Ronaldo akafunga kipindi cha pili katika mchezo
huo wa La Liga.
|
![]() |
|
The three
players who could define a generation in Madrid, Isco (left), Ronaldo and Bale.
|
![]() |
|
Carlo Ancelotti hasn't had the best of starts as Real Madrid
coach, with many of his players new.
|
![]() |
| Yellow submarine: It certainly wasn't all plain-sailing as Villarreal scored the opening goal through Cani. |
![]() |
|
Old Spurs
boy: Giovani Dos Santos (centre) used to play Bale at Tottenham
|
Septemba
14,2013 Usiku, Katika LA LIGA:- Klabu ya Real Madrid ikimchezesha
rasmi mchezaji wa bei kubwa Duniani, Gareth Bale, ambae alifunga Bao
moja na Supastaa mwenzake Cristiano Ronaldo kufunga Bao jingine wakati Real Madrid
wakibanwa na kutoka Sare ya Bao 2-2 walipocheza Ugenini na Villareal huku Cani akiipa
Bao la kwanza Villareal na la kusawazisha kwa Bao la Dos Santos.
Mabingwa
Watetezi FC Barcelona waliichapa Sevilla Bao 3-2 hapo Jana Pia kwenye Mechi ya La Liga na kwa bao za kufungwa na Alves, Lionel Messi na Sanchez
wakati Bao za Sevilla zilifungwa na Rakitic na Coke.
SERIE A: -
Uwanjani San Siro
hapo Jana (Septemba 14,2013), Inter Milan na Juventus zilitoka Sare ya Bao 1-1
katika Mechi iliyobatizwa Derby D’Italy.
Inter Milan walitangulia kufunga katika Dakika ya 73 kwa
Bao la Mauro Icardi na Juventus kurudisha Dakika 2 baadae kwa Bao la Arturo
Vidal.
BUNDESLIGA:
-Borussia Dortmund
Jana ndani ya Signal-Iduna-Park walilipa kisasi cha Msimu uliopita kufungwa 4-1
na Hamburg na kuibamiza Hamburg Bao 6-2 katika Mechi ya Bundesliga.
Bao za
Borussia Dortmund zilifungwa na Robert Lewandowski na Pierre-Emerick
Aubameyang, Bao 2 kila mmoja, Marco Reus na Mkhitaryan, Bao 1 kila mmoja.
Bao za
Hamburg zilifungwa na Zhi Gin Lam na Heiko Westermann.
Mapema hiyo
Jana, Mabingwa Watetezi Bayern Munich waliichapa Hannover Bao 2-0 na Bao zao
kufungwa na Franck Ribey na Mandzukic.
Kwenye Bundesliga,
Borussia Dortmund wanabaki kileleni.














No comments:
Post a Comment