Kesi ya ‘Lady Jaydee’ a.k.a Anaconda yakwama tena katika Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Friday, August 02, 2013

Kesi ya ‘Lady Jaydee’ a.k.a Anaconda yakwama tena katika Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni.


Wakili wa Lady Jaydee, Mabere Marando (kulia) akimueleza jambo wakili wa viongozi wa Clouds Media Group, Ruge na Kusaga, Willy Lusajo. Katikati ni mume wa Anaconda, Gadna G. Habash.


Gadna akiondoka eneo la mahakama hiyo ya wilaya ya Kinondoni Jijini Dar es salaam baada ya kesi kuahirishwa.



Gadna na Anaconda wakiwa ndani ya gari lao muda mfupi kabla ya kuondoka mahakamani.


KESI inayomkabili mwanamuziki wa kizazi kipya nchini, Judith Wambura ‘Lady Jaydee’ a.k.a Anaconda ya kuwakashifu baadhi ya viongozi wa kampuni ya Clouds Media Group, leo(Agosti 02,2013) imekwama tena kusikilizwa baada ya hakimu aliyeshikilia kesi hiyo katika Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni, Athuman Nyamlani kupatwa na hudhuru. 

Kesi hiyo imepangwa kusikilizwa tena Agosti 6 mwaka huu mahakamani hapo.


(PICHA : RICHARD BUKOS / GPL)


No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad