Kwa mbali ni muonekano
wa Majengo ya Shule ya Sekondari ya Mchungaji Mwema na Makao makuu ya Ofisi za Baba Askofu Severin Niwemugizi,Askofu wa Jimbo kuu Katoliki la Rulenge-Ngara, Mkoani Kagera.
|
Hili ni Eneo la Kojifa ambako Wananchi wa Wilaya ya Ngara waliobahatika kupata uhalali wa kumiliki ardhi wameanza kuliendeleza eneo hilo kwa Ujenzi wa Nyumba bora.
|
Kwa mbali ni muonekano wa Majengo ya Shule ya Sekondari ya Mchungaji Mwema na Makao makuu ya Ofisi za Baba Askofu Severin Niwemugizi,Askofu wa Jimbo kuu Katoliki la Rulenge-Ngara, Mkoani Kagera. |
Kwa chini ya Mlima ni Eneo kuu la Machinjio ya Nyama mjini Ngara. |
Ni muonekano
wa Majengo ya Ofisi ya Idara ya Ukaguzi wa Shule wilaya Ngara Mkoani Kagera.
|
Ni muonekano
wa Ofisi Kuu za Chama cha Mapinduzi (CCM) wilaya Ngara Mkoani Kagera.
|
Ni muonekano
wa Majengo ya Ofisi ya Idara ya Elimu wilaya Ngara Mkoani Kagera.
|
Hapa ni Ofisi ya Idara ya Kilimo na Mifugo wilaya Ngara Mkoani Kagera. |
Ni makutano ya Barabara ya kuelekea Ofisi za Mkuu wa Wilaya ya Ngara ,Benki ya NMB mjini Ngara na Mahakama ya wilaya na Kituo cha Jeshi la Polisi wilayani Ngara mkoani Kagera. |
Ni muonekano wa Wanafunzi na Majengo ya Shule ya Msingi Ngara mjini . |
Hii ni mitaa ya kwa Mboya Guest jirani na Duka la Dawa Muhimu za Binadamu la Mama Clara Mjini Ngara. |
Salon ya mdau mkubwa wa blog ya mwana wa makonda Sikitu na Max na inaelezwa ni mashabiki wakubwa wa kutupwa wa Washika Mitutu wa jiji la London nchini Uingereza Klabu ya Arsenal FC. |
Hapa ni makutano ya barabara inayokutanisha eneo la mitaa ya Mzee Merichioly na Lango kuu la Kuingia soko kuu Mjini Ngara Ni muonekano wa Majengo ya Idara ya Elimu wilaya Ngara Mkoani Kagera. |
Moja ya kivutio kikubwa na Kituo cha huduma ya Mafuta cha Ngara Oil kilichopo makutano(Eneo la Janction) Mjini Ngara,Kituo hicho hutoa huduma zake saa 24 kila siku za wiki. |
Mwana wa Makonda umenikumbusha mbali kulingana na hizo picha.Big Up brother.
ReplyDeleteUsijali na kaa tayari kwa Nyingine kibao uitazame Ngara kwa muonekano wa sasa-imebadilika sana tuuu
ReplyDelete