Taifa Stars 0 - 1 Uganda. |
Timu ya Soka ya Taifa ya Tanzania,
Taifa Stars, ikicheza Nyumbani Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam leo(Julai 13,2013) imefungwa Bao 1-0 na Timu ya Soka ya Taifa ya Uganda katika Mechi ya kwanza ya kusaka nafasi ya
kucheza Fainali za CHAN, African Nations Championship 2014, zitakazochezwa huko
Afrika Kusini Januari Mwakani.
Bao la Uganda lilifungwa Kipindi cha
Pili Dakika ya 46 na Iguma Dennis.
Mechi ya Marudiano itachezwa huko
Uganda baada ya Wiki mbili na Mshindi atakwenda Fainali huko Afrika Kusini.
VIKOSI:
Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Starz). |
TAIFA STARS: Juma Kaseja, Erasto Nyoni, Shomari Kapombe, Aggrey Morris,
Kelvin Yondani, Frank Domayo, Mwinyi Kazimoto, Salum Aboubakari, John Bocco,
Mrisho Ngassa, Amri Kiemba.
Timu ya Taifa ya Uganda. |
UGANDA: Muwonge Hamza, Waswa Hassan, Wadada Nico, Majegwa Brian,
Kabugo Savio, Kasaga Richard, Iguma Dennis, Said Kyeyune, Mpande Joseph, Edema
Patrick, Odur Tonny
Refa: Thierry Nkurunziza
RATIBA CHAN 2014.
KANDA KASKAZINI (Timu 2 zitafuzu)
05-07/07/13: Tunisia v Morocco
26-27/07/13: Morocco v Tunisia
Algeria v Libya - Imefutwa
Libya watacheza
Fainali huko South Africa baada Algeria
kujitoa.
KANDA MAGHARIBI A (Timu 2 zitafuzu)
Raundi ya Awali
30/11/12-2/12/12 : Liberia 0-1 Mauritania; Guinea 0-0 Sierra
Leone
14-16/12/12: Mauritania 2-1 Liberia; Sierra Leone 1-1 Guinea
Mauritania wamepita
Jumala ya Bao 3-1
Guinea wamepita
kwa Magoli ya Ugenini
Raundi ya 1
05-07/07/13: Senegal v Mauritania; Mali v Guinea
26-27/07/13 : Mauritania v Senegal; Guinea v Mali
KANDA MAGHARIBI B(Timu 3 zitafuzu)
Raundi ya Awali
30/11-2/12/12/12: Burkina Faso 2-1 Togo
14-16/12/12: Togo 0-1 Burkina Faso
Burkina Faso wamepita
Jumla ya Bao 3-1
Raundi ya 1
05-07/07/13: Benin v Ghana; Nigeria v Ivory Coast; Burkina
Faso v Niger
26-27/07/13: Ghana v Benin; Ivory Coast v Nigeria; Niger v
Burkina Faso
KANDA KATI (Timu 3 zitafuzu)
Raundi ya Awali
Central African Republic v Congo
- cancelled
Congo inasonga
baada ya kujitoa Central African Republic
Raundi ya 1
05-07/07/13: Cameroon v Gabon; DR Congo v Congo
26-27/07/13: Gabon v Cameroon; Congo v DR Congo
Washindi watatinga Fainali
Mchujo Raundi ya 1
Watakaofungwa Mechi za Raundi ya 1
watapambana kati ya Tarehe 26-28/07/13 na
09-11/08/13 na Washindi wawili
kusonga Fainali.
KANDA KATI MASHARIKI(Timu 3 zitafuzu)
Raundi ya Awali
14-16/12/12: Burundi 1-0 Kenya; Eritrea v Ethiopia (
Ethiopia wamesonga baada Eritrea kujitoa)
06/01/13: Kenya 0-0 Burundi (Burundi wamesonga
Jumla ya Bao 1-0)
Raundi ya 1
05-07/07/13: Burundi v Sudan
12-13/07/13: Ethiopia v Rwanda; Tanzania 0 Uganda 1
26-27/07/13: Sudan v Burundi, Rwanda v Ethiopia, Uganda v
Tanzania
KANDA KUSINI (Timu 3 zitafuzu pamoja na Wenyeji
South Africa)
Raundi ya Awali
30/11-2/12/12 : Mauritius 2-0 Comoros
14-16/12/12: Comoros 0-0 Mauritius
Mauritius yasonga
Jumla ya Bao 2-0
Raundi ya 1
23/06/2013: Swaziland 0-1 Angola
29/06/2013: Angola 1-0 Swaziland
Angola yasonga
Jumla ya Bao 2-0
26-7/07/13: Mauritius v Zimbabwe; Mozambique v Namibia;
Botswana v Zambia
02-04/08/13: Zimbabwe v Mauritius, Namibia v Mozambique;
Zambia v Botswana
Raundi ya 2
26-28/07/13 : Mechi za Kwanza
09-11/08/13: Mechi za Pili
Raundi ya 2
Washindi wawili wa Raundi ya 2
wanaungana na Wenyeji South Africa kucheza Fainali.
Mshindi Mauritius/Zimbabwe v Mshindi
Mozambique/Namibia
Botswana/Zambia v Angola
No comments:
Post a Comment