![]() |
Kala
Jeremiah akipokea tuzo zake za Wimbo
Bora wa Mwaka Hip Hop...... ni Dear God na Mtunzi Bora wa Mashairi Hip Hop na
Msanii Bora wa Hip Hop.
|
![]() |
Gardner G
Habash akipokea tuzo ya Msanii Bora wa Kike kwa niaba ya Lady Jaydee.
|
![]() |
Ommy Dimpoz
kwa mara nyingine tena! Tuzo ya Video Bora ya Mwaka..Baadae..na Tuzo ya Wimbo
Bora wa Bongo Pop wa Me and You.
|
![]() |
Chalz Baba akiwa na Tuzo yake ya Msanii Bora wa Kiume Band. |
![]() |
Mashujaa Band
wakifurahia Tuzo ya Band Bora na wimbo
wa Risasi Kidole.
|
![]() |
Ben Pol
akiwa kwenye stage na tuzo yake ya Mtunzi Bora wa Mashahiri Bongo Fleva.
|
Usiku wa Tuzo
za Muzizki Tanzania maarufu kama Kilimanjaro Tanzania Music Awards 2013 umefanyika
jana(Juni 08,2012).
Tofauti na
miaka mingine ambayo tukio la utoaji tuzo tu ndio lilikuwa likionyeshwa kupitia
kwenye TV pekee, na kuwanyima fursa Watanzania waishio nje ya nchi kufuatilia
moja kwa moja, mwaka huu watumiaji wa mtandano wa Internet waliweza kuangalia
tukio zima la utoaji wa Tuzo mwaka huu 2013 kwa Wasanii na Watayarishaji
wanaendeleza Juhudi za Kuleta Maendeleo ya Tasnia ya Muziki nchini Tanzania.
Kala Jeremiah amefanikiwa kunasa tuzo 3 muhimu mwaka huu, Dear God imeweza kumpa nafasi kubwa na kushinda tuzo katika kipengele cha wimbo bora wa Hip Hop.
Nguvu ya wimbo huo bila shaka ndiyo imemuwezesha pia kuondoka na tuzo ya msanii
bora wa Hip Hop na Mtunzi bora wa mashairi ya Hip Hop.
Kala aliweza kuwapenya wasanii wazito kama Fid Q, Joh Makini, Mwana FA, Profesa Jay na mdogo wake katika game Stamina wa Moro Town waliokutana nae katika vipengele vya Hip Hop.
Wimbo huu ulitengenezwa na mtayarishaji chipukizi Dee Classic ambae pia alikuwa anawania tuzo katika kipengele cha mtayarishaji chipukizi wa Mwaka lakini hakuweza kushinda tuzo hiyo ambayo ilienda kwa Mesen Selector.
Msanii mwingine wa bongo fleva aliyeng’ara katika tuzo hizo ni Ommy Dimpoz ambae pia aliondoka na Tuzo tatu, ambazo ni Video bora ya wimbo bora ya mwaka, wimbo bora wa Bongo Pop ‘Me and You’ akiwa na Vannessa Mdee ambao pia uliwapa tuzo ya wimbo bora wa kushirikishwa/kushirikiana.
Aidha unaweza
sema 2013 Kimuziki umekuwa mwaka mzuri
zaidi kwa msanii toka rock City Mwanza
Kala Jeremiaha ambae wimbo wake ‘Dear
God’ umeweza kuchukua tuzo tatu katika Kilimanjaro Music Awards 2013.
Kala Jeremiah amefanikiwa kunasa tuzo 3 muhimu mwaka huu, Dear God imeweza kumpa nafasi kubwa na kushinda tuzo katika kipengele cha wimbo bora wa Hip Hop.
Mwana FA. |
Kala aliweza kuwapenya wasanii wazito kama Fid Q, Joh Makini, Mwana FA, Profesa Jay na mdogo wake katika game Stamina wa Moro Town waliokutana nae katika vipengele vya Hip Hop.
Wimbo huu ulitengenezwa na mtayarishaji chipukizi Dee Classic ambae pia alikuwa anawania tuzo katika kipengele cha mtayarishaji chipukizi wa Mwaka lakini hakuweza kushinda tuzo hiyo ambayo ilienda kwa Mesen Selector.
Msanii mwingine wa bongo fleva aliyeng’ara katika tuzo hizo ni Ommy Dimpoz ambae pia aliondoka na Tuzo tatu, ambazo ni Video bora ya wimbo bora ya mwaka, wimbo bora wa Bongo Pop ‘Me and You’ akiwa na Vannessa Mdee ambao pia uliwapa tuzo ya wimbo bora wa kushirikishwa/kushirikiana.
Washindi wa Tuzo
za Muzizki Tanzania maarufu kama Kilimanjaro Tanzania Music Awards 2013 ni
pamoja na …:-
Msanii Bora
wa Kiume Bongo Fleva.....ni Diamond.
Msanii Bora
wa Kike..... ni Lady Jaydee.
Video Bora
ya Mwaka......ni Baadae ya Ommy Dimpoz.
Wimbo Bora
wa Mwaka Hip Hop...... ni Dear God wa Kala Jeremiah.
Wimbo Bora
Afrika Mashiriki..... ni Jose Chameleone na Valu Valu.
Wimbo Bora
RnB...... ni Rama Dee na Kuwa na Subira.
Mtunzi Bora
wa Mashairi Hip Hop na Msanii Bora wa Hip Hop...... ni Kala Jeremiah.
Wimbo Bora
wa Mwaka Hip Hop...... ni Ney wa Mitego na wimbo wa Sema Nao.
Wimbo Bora
wa Ragga/Dancehall......Dabo na wimbo wa Predator.
Rapa Bora wa
Band......ni Fagasoni.
Msanii Bora
wa Kiume Band....ni Chalz Baba.
Luiza Mbutu. |
Msanii Bora
wa Kike Band....ni Luiza Mbutu.
Mtayarishaji
wa Wimbo Bora wa mwaka Band.....ni Amoroso.
Wimbo Bora
wa Bendi......ni Mashujaa Band na wimbo wa Risasi Kidole.
Msanii Bora
Anayechipukia ni.....Ali Nipashe.
Wimbo Bora
wa Bongo Pop.......ni Ommy Dimples na Vanessa Mdee Me and You.
Msanii Bora
wa Kike Bongo Fleva......ni Recho.
Mtayarishaji
Bora wa Mwaka Bongo Fleva.....ni Man Water.
Mtunzi Bora
wa Mashahiri ya Bongo Fleva......ni Ben Pol.
Wimbo Wenye
Vionjo vya Asili.....ni Chocheeni Kuni wa Mrisho Mpoto.
Msanii Bora
wa Kike Taarab....ni Isha Mashauzi.
Msanii Bora
wa Kiume Taarab....ni Mzee Yusuf.
Mtayarishaji
wa wimbo wa mwaka wa Taarab....ni Enrico.
Mtunzi Bora
wa Mashahiri ya Taarab....ni Thabit Abdul.
Baada ya
kushinda Tuzo Msanii Rama Dee akafunguka na kauli hii kwenye Akaunti yake ya
Facebook.
No comments:
Post a Comment