Tazama Picha 16 za Ujenzi wa Daraja Jipya la Rusumo ambalo ni Daraja la kimataifa linalovuka Mto Kagera na kuunganisha nchi jirani za Rwanda na Tanzania. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Monday, June 17, 2013

Tazama Picha 16 za Ujenzi wa Daraja Jipya la Rusumo ambalo ni Daraja la kimataifa linalovuka Mto Kagera na kuunganisha nchi jirani za Rwanda na Tanzania.


Picha zikionesha  Ujenzi wa Kingo za   Daraja  Jipya la Rusumo ukiendelea ambalo ni Daraja la kimataifa linalovuka Mto Kagera na kuunganisha nchi jirani za Rwanda na Tanzania.

















Aidha Daraja ni jengo lililoundwa kwa kusudi la kuwa na njia juu ya pengo au kizuizi. 

Mfano mzuri ni daraja linaloendeleza barabara juu ya mto au juu ya barabara nyingine.



Kuna aina nyingi za madaraja. Ukubwa wa daraja unategemea upande mmoja upana wa kizuizi kinachotakiwa kuvukiwa yaani upana wa mto na kwa upande mwingine uzito wa mizigo itakayopita daraja.



 Daraja la kuvukisha watu halina mzigo mkubwa lakini daraja linalopokea njia ya reli au barabara kuu litabeba uzito mkubwa.



Kuna pia madaraja yanayovusha mfereji juu ya mto hivyo kuwezesha meli kupita juu ya meli nyingine.



 Kwa jumla madaraja ni sehemu muhimu za miundombinu wa kila nchi na  hili la Rusumo linalounganisha nchi jirani za Tanzania na Rwanda ni mfano mzuri katika kuimarisha ujirani mwema ,Biashara na Utali pia.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad