Timu ya
wachezaji wa zamani wa Real Madrid wamewafunga wakongwe wenzao wa Manchester
United mabao 2-1 kwenye Uwanja wa Old Trafford jijini Manchester, leo(Juni 02,2013).
Bao la Man
United limefungwa na Van Nistelrooy katika dakika ya 67, wakati yale ya Madrid
yamefungwa na Morientes dakika ya 40 na De La Red (84).
Kikosi cha
United kilikuwa hivi: Van Der Gouw, Martin, Irwin, Johnsen, Stam, Van
Nistelrooy, Scholes, Fortune, Blomqvist, Cole, Yorke
Rea Madrid:
Sanchez, Pavon, Helguera, McManaman, Amavisca, Sanz, Hierro, Vazquez, Zidane,
Morientes, De La Red.
Katika mechi
hiyo pia, kocha wa zamani wa Man United, Alex Ferguson pia alikuwepo uwanjani
ambapo alipata shangwe nyingi.
|
No comments:
Post a Comment