WASANII : Joseph Haule 'Profesa Jay' na Young Killer… Watwaa Tuzo za Hip Hop 2013/2014 Nchini. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Sunday, May 26, 2013

WASANII : Joseph Haule 'Profesa Jay' na Young Killer… Watwaa Tuzo za Hip Hop 2013/2014 Nchini.


Msanii Bora wa Hip Hop 2013, Joseph Haule 'Profesa Jay'.


Msanii Young Killer aliyechukua tuzo ya msanii bora chipukizi wa Hip Hop 2013.


Wasanii  wanaofanya vizuri zaidi katika muziki wa Hip Hop nchini, Joseph Haule 'Profesa Jay' na Young Killer wamefanikiwa kutwaa tuzo katika tamasha la Usiku wa Hip Hop lililofanyika katika Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala Zakhem jijini Dar es Dar es Salaam.




Msanii Young Killer amechuka tuzo ya msanii Bora Chipukizi wa Hip Hop kwa wimbo wake wa 'Dear Gambe' aliomshirikisha msanii Belle 9. 




Washindi hao wamewabwaa wasanii wenzao kibao waliokuwa wanawania tuzo hizo.


No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad