| Baadhi ya washiriki wa Mafunzo
ya siku 3 kwa Vikundi vya Wakulima wauza
Ndizi yanayofanyika katika Ukumbu wa Idara
ya Kilimo Wilayani Ngara mkoani Kagera. |
| Baadhi ya washiriki wa Mafunzo ya siku 3 kwa Vikundi vya Wakulima wauza Ndizi yanayofanyika katika Ukumbu wa Idara ya Kilimo Wilayani Ngara mkoani Kagera. |
| Aliyesimama ni Afisa ushirika wa halmashauri ya wilaya ya Ngara Bi. Adelina Mapunda |
Wakulima wauza
wa zao la ndizi wilayani Ngara Mkoani
kagera wameaswa kuboresha kilimo cha zao
la migomba ili waweze kufanikiwa katika
ushindani wa mauzo ya zao hilo .
|
Afisa
ushirika wa
halmashauri ya wilaya
ya Ngara
Bi.
Adelina Mapunda
na
Bw.
Edisoni Mhagama
katika Mafunzo hayo ya
Siku 3 katika ukumbi wa
idara ya Kilimo mjini Ngara.
|
Afisa
ushirika wa halmashauri ya wilaya ya Ngara Bi. Adelina Mapunda amesema kuwa
wilaya hiyo imezungukwa na wazalishaji wa mazao ya ndizi ikiwemo nchi za
Burundi na Rwanda hivyo Wazalishaji hao hawana budi kuboresha huduma zao ikiwemo
ubunifu wa kutengeneza bidhaa zinazo tokana na zao la ndizi.
Aidha
amewataka Wakulima hao kuungana pamoja
na kudumisha ushirikiano ili umoja wao
uwezi kuimarika katika shughuli za mauzo ya mazao yao ikiwemo kusafiri nje ya
mkoa wa kagera ili kujifunza ushindani
uliopo katika uuzaji wa zao la ndizi.
Katika hatua
nyingine Bw. Edisoni Mhagama ambaye ni Muwezeshaji katika Mafunzo hayo
yaliyoandaliwa na SIDO pamoja na Shirika la BTC, amewataka kuunda Vikundi vya Ujasirimali ili
kupata mikopo itakayowawezesha kukabili changamoto mbalimbali za kilimo cha zao la Ndizi .
Mafunzo hayo
ya siku 3 kwa Vikundi vya Wakulima wauza
Ndizi yanafanyika katika Ukumbu wa Idara
ya Kilimo Wilayani Ngara mkoani Kagera.
| Bw. Edisoni Mhagama ambaye ni Muwezeshaji katika Mafunzo hayo Chini ya SIDO , yaliyodhaminiwa na Shirika la BTC. |
| Baadhi ya washiriki wa Mafunzo ya siku 3 kwa Vikundi vya Wakulima wauza Ndizi yanayofanyika katika Ukumbu wa Idara ya Kilimo Wilayani Ngara mkoani Kagera. |







No comments:
Post a Comment