|
|
|
Naibu
Mkurugenzi Mkuu wa NHIF, Hamis Mdee akikabidhi vifaa na dawa zitakazotumiwa na
madaktari hao kwa muda wa siku saba kwa uongozi wa Mkoa.
|
|
Kaimu
Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Ramadhan Maneno akifungua rasmi mpango wa NHIF wa
madaktari Bingwa kutoa huduma katika Hospitali ya Rufaa Maweni.
|
|
Mganga Mkuu
wa Mkoa wa Kigoma Leonard Subi akitoa neno la shukrani kwa NHIF kwa uamuzi wa
kupeleka wataalam hospitalini kwake.
|





No comments:
Post a Comment