![]() |
|
Cover
la filamu hiyo
ya
Sister Marry.
|
Kanisa
Katoliki nchini linaloongozwa na Muadhama Polycarp Kadinali Pengo, liliizuia
filamu hiyo kwa kile kilichodaiwa kuwa ilikuwa ikionesha udhalilishaji kwa
namna ambavyo watawa wamevaa mavazi mafupi.
![]() |
|
Baadhi
ya vipande
vilivyomo
katika filamu hiyo.
|
Akipiga
stori na paparazi wetu, Ray amebainisha kuwa baada ya kuambiwa achomoe vipande
vingi kwenye filamu hiyo, ameona ni bora kuachana nayo kwani hata akitoa
haitaleta maana hivyo atakujairudia upya wakati mwingine.
“Asilimia 85
ya filamu niliigizia kanisani na ndivyo walivyosema niviondoe, sina ujanja kwa
sasa nimeanza kushuti filamu nyingine kabisa ile labda nije kuirudia upya hapo
baadaye,” alisema Ray.
Na Mwandishi
Wetu: GPL







No comments:
Post a Comment