Kijana anajisi kuku jike na kumsababishia 'maumivu makali' ,ni mkazi wa kata ya Kigera Manispaa ya Musoma. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Sunday, April 28, 2013

Kijana anajisi kuku jike na kumsababishia 'maumivu makali' ,ni mkazi wa kata ya Kigera Manispaa ya Musoma.



Kamanda Absalom Mwakyoma.
Mwanaume aitwaye Yusuph Bakari (28) mkazi wa kata ya Kigera Manispaa ya Musoma amenajisi kuku jike na kumsababishia 'maumivu makali'.




Akizungumzia tukio hilo, Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Mara Kamishina Msaidizi Absalom Mwakyoma amewaambia waandishi wa habari kuwa Aprili 24,2013 saa tatu asubuhi Bakari 'alifanya mapenzi' na kuku jike na kuumuumiza.




Kuku huyo ni mali ya Bibi Nyamera Kitambara (76).




Mwakyoma amesema, bibi huyo alishuhudia kuku wake akinajisiwa, kwa kuwa hakuwa na uwezo wa kumkamata kijana huyo, alipiga kelele, wananchi wakaenda na kumkamata Bakari na kumfikisha katika kituo kidogo cha polisi Kigera .


No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad