Idadi ya watu waliopoteza maisha katika mafuriko yaliyoikumba nchi ya Argentina, imefikia 56 . - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Friday, April 05, 2013

Idadi ya watu waliopoteza maisha katika mafuriko yaliyoikumba nchi ya Argentina, imefikia 56 .


A man standing on a roof looks at submerged cars in a flooded street after a rainstorm in Buenos Aires April 2, 2013.


A man looks at cars in a flooded street after a rainstorm in Buenos Aires

A man looks at cars in a flooded street after a rainstorm in Buenos Aires April 2, 2013. Thunderstorms damaged property and vehicles, cut power and caused delays on flights in Buenos Aires and its suburbs.

A man tries to move a car at a flooded street after a rainstorm in Buenos Aires April 2, 2013. Thunderstorms damaged property and vehicles, cut power and caused delays on flights in Buenos Aires and its suburbs. The City's SAME emergency service announced that the death toll has risen to five.

Men try to remove garbage in flooded street after a rainstorm in Buenos Aires

A man wades through a flooded gas station after a rainstorm to six.



Kufuatia vifo hivyo, serikali ya Argentina imetangaza siku tatu za maombolezo ya kitaifa kufuatia vifo hivyo.





Wakati huohuo, Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Francis ametuma salamu za pole kwa Argentina Kutokana na mafuriko hayo yaliyoikumba nchi hiyo.





Takwimu zinaonesha kuwa zaidi ya 48 wamepoteza maisha katika eneo la La Plata lililopo kilometa 60 Kusini mwa Mji Mkuu wan chi hiyo.






A couple looks at submerged cars on a flooded street after a rainstorm in Buenos Aires, April 2, 2013. Thunderstorms damaged property and vehicles, cut power and caused delays on flights in Buenos Aires and its suburbs. Alberto Crescenti, director of the City's SAME emergency service, said in a news conference that the death toll has risen to six. REUTERS/Enrique Marcarian - ARGENTINA

Miili ya waliofikwa na mauti imeanza kuopolewa kwenye maji zoezi ambalo linatajwa kukabiliwa na vikwazo kadhaa kutokana na miundombinu kuharibiwa na mvua hivyo na hivyo kikosi cha uokoaji kushindwa kufika kwa wakati.


No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad