![]() |
|
1. Youssou
N’dour (Senegal)
|
Muziki ni
sehemu ya kazi/biashara inayolipa sana endapo mfumo wa biashara hiyo
utasimamiwa vizuri na nchi husika.
Nchini Nigeria inaonekana kuwa na mfumo mzuri zaidi
kwa kuangalia idadi kubwa zaidi ya wasanii walioingia katika Kumi bora kuliko nchi nyingine.
Kundi la P
Square wameshika nafasi ya pili na kuwa wa kwanza kwa Nigeria, na wasanii wake Peter
and Paul Okoye huingiza zaidi ya $150,000 kwa show moja.
Kwa upande
wa Afrika Mashariki ni Msanii Jose
Mayanja Chameleone amewakilisha vyema kwa kushika nafasi ya kumi.
Aidha hii
ndo list nzima hapa chini..:-
![]() |
|
1. Youssou
N’dour (Senegal)
|
![]() |
|
2. P-Square
(Nigeria)
|
![]() |
|
3. D’banj
(Nigeria)
|
![]() |
|
4. Koffi
Olomide (DRC)
|
![]() |
|
5. Salif
Keita (Mali)
|
![]() |
|
6. Fally
Ipupa (DRC)
|
![]() |
|
7. 2 Face
Idibia (Nigeria)
|
![]() |
|
8. Hugh
Masekela (South Africa)
|
![]() |
|
9. Banky W
(Nigeria)
|
![]() |
|
10. Jose
Chameleone (Uganda)
|
















No comments:
Post a Comment