Arsenal yashinda bao 3-1 dhidi ya Norwich City katika Barclays Premier League, ushindi ambao umewafanya wazipiku Chelsea na Tottenham na wao kukamata nafasi ya 3. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Saturday, April 13, 2013

Arsenal yashinda bao 3-1 dhidi ya Norwich City katika Barclays Premier League, ushindi ambao umewafanya wazipiku Chelsea na Tottenham na wao kukamata nafasi ya 3.



Arsenal imefanikiwa kuibuka Mshindi kwa Bao 3-1 dhidi ya Norwich City baada ya kutoka nyuma kwa Bao 1-0 na kupiga Bao 3 Dakika 7 za mwisho katika Mechi ya BPL, Barclays Premier League, ushindi ambao umewafanya wazipiku Chelsea na Tottenham na wao kukamata nafasi ya 3.




Leo Magoli ya Arsenal yamefungwa na Arteta Dakika ya 85 [Penati],-Giroud 88 na -Podolski 93.



MATOKEO:



Jumamosi 13 Aprili 


Aston Villa 1 – 1  Fulham 


Everton 2 – 0  QPR 


Reading 0 – 0 Liverpool 
 

Southampton 1 – 1 West Ham 



MECHI ENGLAND RATIBA


Jumapili 14 Aprili 


[Saa 8 Mchana]


Newcastle v Sunderland



[Saa 10 Dak 5 Jioni]


Stoke v Man United




FA CUP   NUSU FAINALI: WEMBLEY STADIUM

Jumapili Aprili 14


[SAA 12 Jioni]



Chelsea v Man City


No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad