Soma Orodha ya Mapapa waliokaa Muda mrefu Na Mfupi zaidi Madarakani. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Wednesday, February 27, 2013

Soma Orodha ya Mapapa waliokaa Muda mrefu Na Mfupi zaidi Madarakani.


Papa John Paul II  (1978–2005): Miaka 26, Miezi 5 na Siku 18 (Siku 9,665).





WALIOKAA MUDA MREFU ZAIDI:



1.    Pius IX (1846–1878): Miaka 31,  Miezi 7 na Siku 23  (Siku 11,560).



2.    John Paul II (1978–2005): Miaka 26, Miezi 5 na Siku 18 (Siku 9,665).



3.    Leo XIII (1878–1903): Miaka 25, Miezi 5 na Siku 1 (Siku 9,281).



4.    Pius VI (1775–1799): Miaka 24, Miezi 6 na Siku 15 (Siku 8,962).


5.    Adrian I (772–795): Miaka 23, Miezi 10 na Siku 25 (Siku 8,729).


6.    Pius VII (1800–1823): Miaka 23, Miezi 5 na Siku 7 (Siku 8,560).


7.    Alexander III (1159–1181): Miaka 21, Miezi 11 na Siku 24 (Siku 8,029).


8.    St. Sylvester I (314–335): Miaka 21, Miezi 11 na Siku 1 (Siku 8,005).



9.    St. Leo I (440–461): Miaka 21, Mwezi 1 na Siku 13 (Siku 7,713).



10.   Urban VIII (1623–1644): Miaka 20, Miezi 11 na Siku 24 (Siku 7,664).





Papa John Paul I (Agosti 26-Sep 28, 1978): Siku 33.



WALIOKAA MUDA MFUPI ZAIDI:



1.    Urban VII (Septemba 15-27, 1590): Siku 13



2.    Boniface VI (Aprili 896): Siku 16



3.    Celestine IV (Okt 25-Nov 10, 1241): Siku 17


4.    Theodore II (Des 897): Siku 20


5.    Sisinnius (Jan 15-Feb 4, 708): Siku 21


6.    Marcellus II (Apr 9-Mei 1, 1555): Siku 22


7.    Damasus II (Jul 17-Agosti 9, 1048): Siku 24


8.    Pius III (Sep 22-Oct 18, 1503): Siku 27



9.    Leo XI (Apr 1-27, 1605): Siku 27



10.  Benedict V (Mei 22-Juni 23, 964): Siku 33



11.  John Paul I (Agosti 26-Sep 28, 1978): Siku 33




Chanzo: Wikipedia org.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad