![]() |
Mario Balotelli. |
Tukio
lilitokea wakati Balotelli akiichezea kabla yake mpya ya AC Milan katika mchezo
dhidi ya Inter ambao ulimalizika kwa sare ya kufungana bao 1-1.
Mashabiki
wa Inter Milan walikuwa wakipeperusha
maganda ya ndizi katika mchezo huo lakini baadhi wachambuzi walidai pengine
tukio hilo halikumlenga nyota huyo ambaye ameitumikia klabu hiyo kwa miaka
minne.
Balotelli
ambaye ametokea Manchester City kabla ya kwenda AC Milan naye pia metozwa euro
10,000 kwa kuwaonyesha ishara ya matusi mashabiki hao.
No comments:
Post a Comment