![]() |
Simba SC
v/s Mtibwa Sugar
|
Mchezo
huo ukichezwa kwenye uwanja wa Taifa, Dar es Salaam umewafanya Mtibwa Sugar
itimize pointi 27 baada ya
kucheza mechi 18 na kupanda hadi nafasi ya 5 kwenye msimamo wa Ligi Kuu wakati Simba SC inabaki nafasi ya 3 kwa pointi zake 31 baada ya kucheza mechi 18 pia wakiwa hatarini kung’olewa na Coastal Union walio Pointi 1
nyuma na Mechi moja mkononi.
![]() |
Mashabiki wa Simba SC |
Simba SC , ambao wanasafiri kwenda Angola kurudiana na Clube Recreativo de
Desportivo do Libolo ambayo ilishinda 1-0 katika Mechi ya Kwanza ya Raundi ya
Awali ya CAF CHAMPIONS LIGI, watarudi
tena kwenye Ligi kuu VPL hapo Machi 10
watakapokuwa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kucheza na Coastal Union.
No comments:
Post a Comment