Katibu
Mkuu wa CCM Kinana akipanda treni kuongoza msafara wa Sektretarieti waliosafiri
kwa treni kwenda Kigoma kutoka Dar es salaam jana Januari 25,2013.
|
Katibu
wa NEC Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, Asha-Rose Migiro akipunga mkono baada ya
kupanda treni kutoka Dar kwenda Kigoma
|
Kinana, Migiro na Nape wakiwaaga wana-CCM na wananchi katika stesheni ya Dar es salaam kabla ya kupanda treni mjini Dar es salaam kwenda Kigoma. |
WanaCCM
wakimuaga Kinana na msafara wake kutoka stesheni ya reli Dar es salaam kwenda
Kigoma.
|
Msafara
wa Baadhi ya Wajumbe wa Sekretarieti ya CCM, ukiongozwa na Katibu Mkuu,
Abdulrahaman Kinana kuelekea Mkoani
Kigoma katika maadhimisho ya Miaka 36 ya kuzaliwa Chama cha Mapinduzi umefika
salama Mkoani Kigoma na kupata Mapokezi makubwa kutoka kw2a wana CCM mkoani
hapo.
No comments:
Post a Comment