Mashabiki
wa timu ya Taifa Stars
wakishagilia
mara baada
ya
Mrisho Ngasa
kufungo
goli la kwanza
dhidi
ya Chipolopolo .
|
Mchezaji wa
Taifa Stars Mrisho Ngasa akishangilia na kupongezwa na wenzake mara baada ya
kufunga goli la mkwanza katika mchezo huo.
|
Mashabiki wa
timu ya Taifa Stars wakishagilia mara baada ya Mrisho Ngasa kufungo goli la
kwanza dhidi ya Chipolopolo katika mchezo huo.
|
Mashabiki wa
timu ya taifa ya Zambia wakishangilia timu yao katika mchezo huo.
|
ZAMBIA:
Danny Munyao,
Chintu Kampamba,
Hichani Himonde,
Chisamba
Lungu,
James
Chamanga,
Moses
Phiri,
Christopher
Katongo,
Felix
Katongo,
Nathan Sinkala,
Rodrick
Kabwe,
Isaac Chansa.
|
Zambia ama
Chipolopolo chini ya Kocha Bora Afrika
Herve Renard, Kipindi cha Pili, walirudi kwa kasi lakini wakiwa na mchezaji bora wa Afrika wa
BBC Chris Katongo ,Hadi kipenga cha mwisho kinapulizwa matokeo yakiwa 1-0 hivyo Taifa Stars kutoka na ushindi mzuri ikiupata kwa kucheza soka safi kabisa la
kuridhisha.
Makocha wa
Zambia wakitoka uwanjani baada ya mechi kumalizika.
|
TAIFA STARS:
Juma Kaseja, Erasto Nyoni, Shomari Kapombe, Aggrey Morris, Kevin Yondan, Frank
Domayo, Salum Abubakar, Mwinyi Kazimoto, Amri Kiemba, Mrisho Ngassa, Khamis Mcha.
|
No comments:
Post a Comment