Lionel Messi Rekodi |
WAFUNGAJI
BORA
-Lionel
Messi Bao 23
-Radamel
Falcao 16
-C.Ronaldo 13
Gerd Muller
akijaribu
kufunga
mbele ya
ukuta wa Uholanzi
katika World Cup
final ya 1974
|
Gerd Muller
alifunga mabao 85 katika mechi 60 akiichezea Bayern Munich na Ujerumani
Magharibi mwaka 1972 - rekodi ambayo imekuwepo kwa miaka 40 sasa.
Hivi ndivyo
Muller alivyojitengenezea rekodi yake.
BAYERN
MUNICH
Bundesliga:
Mabao 42 katika mechi 34
European
Cup: Mabao 10 katika mechi 4
Cup Winners
Cup: Bao 1 katika mechi 2
DfB Pokal:
Mabao 7 katika mechi 6
DfB
Ligapokal: Mabao12 katika mechi 5
GERMANY
Euro1972:
Mabao 5 katika mechi 4
Mechi za
kirafiki: Mabao 8 katika mechi 3
Kipindi bora
kabisa cha ufungaji: Mabao 16 katika mechi 8
Muda mrefu
bila kufunga: Mechi 3
Katika
magoli yote 85 aliyofunga - alifunga yote bila mkwaju wa penati.
No comments:
Post a Comment