Aidha Ray C alimueleza Rais kwamba afya yake imeimarika na kwamba muda mfupi ujao atarudi kuendelea na kazi yake ya muziki.
Kwa upande wa mama yake Ray C amemshukuru Kikwete kwa kuokoa maisha ya mwanae kwa kugharamia matibabu yote ya mwanae.
Raisi
Jakaya Kikwete akiwa pamoja na Ray C, Mama yake mzazi Ray C - Margreth Mtweve
na aliyevaa nguo za pinki upande wa kulia ni dada yake Ray C - Sarah Mtweve.
(Picha na Freddy Maro)
|
No comments:
Post a Comment