Abiria
watatu kati ya 65 waliokuwa wakisafiri kwa bus la Coastline lililokuwa
likitokea mkoani Tabora kuelekea mkoani Arusha wamenusurika kifo baada ya bus
hilo kutumbukia kwenye korongo kufuatia kupasuka kwa gurudumu la mbele.
Saturday, December 08, 2012
![](https://1.bp.blogspot.com/-7Kd9qaiRHuA/WaEtZyc70TI/AAAAAAAADsA/7WUYBVoY-UwwjdEP3kDFPvH9htN0dDKgQCLcBGAs/s1600/demo-image.jpg)
Abiria wanusurika kifo baada ya basi kutumbukia kwenye Korongo Babati.
Tags
# HABARI
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
HABARI
Labels:
HABARI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.
No comments:
Post a Comment