Wanachama wa CCM kupigwa marufuku kuitwa waheshimiwa kwani utaratibu huo licha ya kujenga mazingira ya kuwepo kwa tabaka la wanaostahili Kuheshimiwa na wasiostahili. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Thursday, November 29, 2012

Wanachama wa CCM kupigwa marufuku kuitwa waheshimiwa kwani utaratibu huo licha ya kujenga mazingira ya kuwepo kwa tabaka la wanaostahili Kuheshimiwa na wasiostahili.


Abdulrahman Kinana
Katibu Mkuu wa CCM, Taifa
Katibu mkuu wa Chama Cha Mapinduzi -CCM  Bw Abdulrahamani Kinana amesema kuanzia sasa ni marufuku viongozi wa ngazi zote wa Chama hicho kujiita waheshimiwa kwani utaratibu huo licha ya kujenga mazingira ya kuwepo kwa tabaka la wanaostahili Kuheshimiwa na wasiostahili unavunja misingi ya chama hicho inayosimamia usawa wa binadamu.













No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad