Michuano
ya Ligi Kuu ya Vodacom kuwania ubingwa wa Tanzania Bara 2012/2013 inaanza
kutimua vumbi kesho (Septemba 15 mwaka huu) ambapo timu zote 14 zitakuwa kwenye
viwanja saba tofauti.
Mabingwa
watetezi Simba wataikaribisha African Lyon kwenye Uwanja wa Taifa,
Dar es Salaam.
Mjini
Morogoro, Polisi Dodoma watakuwa
wenyeji wa Mtibwa Sugar kwenye
Uwanja wa Jamhuri wakati jijini Tanga, Mgambo
JKT ambayo imepanda daraja msimu huu itaumana na Coastal Union kwenye Uwanja wa Mkwakwani.
Tanzania Prisons ambayo nayo imerejea Ligi kuu VPL msimu huu itaialika
Yanga kwenye Uwanja wa Kumbukumbu ya
Sokoine jijini Mbeya ili hali JKT Ruvu na Ruvu Shooting zitapambana kwenye Uwanja wa Azam Complex jijini Dar
es Salaam huku Azam ikiwatembelea Kagera Sugar kwenye Uwanja wa Katiba.
Uwanja
wa CCM Kirumba jijini Mwanza utakuwa mwenyeji wa mechi kati ya Toto Africans dhidi ya Oljoro JKT.
Mechi
zote zitaanza saa 10.30 jioni.
Viingilio
katika mechi ya Simba na African Lyon vitakuwa sh. 5,000 kwa viti vya rangi ya
kijani na bluu, sh. 8,000 viti vya rangi ya chungwa, sh. 15,000 viti vya VIP C
na B wakati VIP A itakuwa sh. 20,000.
Viingilio kwa mechi nyingine vitakuwa sh.
3,000 na sh. 10,000.
BAADA
MAPUMZIKO WIKI 2 BPL, LA LIGA, SERIE A, BUNDESLIGA KULINDIMA DIMBANI!
Ligi kuu
soka Uingereza
Jumamosi
Septemba 15
[Saa 8 Dak
45 Mchana]
Norwich City v
West Ham United
[Saa 11
Jioni]
Arsenal v
Southampton
Aston Villa v
Swansea City
Fulham v West
Bromwich Albion
Manchester United
v Wigan Athletic
Queens Park
Rangers v Chelsea
Stoke City v
Manchester City
[Saa 1 na
Nusu Usiku]
Sunderland v
Liverpool
Jumapili
September 16
[Saa 12
Jioni]
Reading v
Tottenham Hotspur
Jumatatu
Septemba 17
[Saa 4
Usiku]
Everton v
Newcastle United
+++++++++++++++++++++++++++++++++++++
Ligi kuu
soka Ujerumani
Ijumaa Septemba
14
[Saa 3 na
Nusu Usiku]
FC Augsburg v VfL
Wolfsburg
Jumamosi
Septemba 15
[Saa 10 na
Nusu Jioni]
Bayern Munich v
Mainz
Borussia Dortmund
v Bayer Leverkusen
Borussia
Moenchengladbach v Nuremberg
Hanover 96 v
Werder Bremen
VfB Stuttgart v
Fortuna Duesseldorf
[Saa 1 na
Nusu Usiku]
Greuther Fuerth v
Schalke 04
Jumapili
Septemba 16
[Saa 10 na
Nusu Jioni]
Freiburg v
Hoffenheim
Eintracht
Frankfurt v Hamburg SV
+++++++++++++++++++++++++++++++++++++
Jumamosi
Septemba 15
[Saa 11
Jioni]
Malaga v Levante
[Saa 1
Usiku]
Valencia v Celta
Vigo
[Saa 3
Usiku]
Getafe v Barcelona
[Saa 5
Usiku]
Sevilla v Real
Madrid
Jumapili
Septemba 16
[Saa 7
Mchana]
Espanyol v
Athletic Bilbao
[Saa 11
Jioni]
Granada CF v
Deportivo Coruna
[Saa 1
Usiku]
Osasuna v Real
Mallorca
[Saa 2 Dak
50 Usiku]
Real Sociedad v
Real Zaragoza
[Saa 4 na
Nusu Usiku]
Atletico Madrid v
Rayo Vallecano
Jumatatu
Septemba 17
[Saa 4 na
Nusu Usiku]
Real Valladolid v
Real Betis
+++++++++++++++++++++++++++++++++++++
Ligi kuu
soka Italia.
Jumamosi
Septemba 15
[Saa 1
Usiku]
Palermo v Cagliari
[Saa 3 Dak
45 Usiku]
AC Milan v
Atalanta Bergamo
Jumapili
Septemba 16
[Saa 7 na
Nusu Mchana]
Chievo Verona v
Lazio
[Saa 10
Jioni Usiku]
AS Roma v Bologna
Fiorentina v
Catania
Genoa v Juventus
Napoli v Parma
Pescara v
Sampdoria
Siena v Udinese
[Saa 3 Dak
45 Usiku]
Torino v Inter
Milan










No comments:
Post a Comment